|
|
|
Na Mwandishi Wetu WATANZANIA waishio Marekani wameanzisha Baraza la Waislamu liitwalo Tanzania Muslim Council (TAMCO). Baraza hilo lenye makao yake makuu jijini Washington DC lilifanya uchaguzi wake mkuu wa kwanza Mei 10, 1998 na wafuatao wamechaguliwa kuliongoza Baraza kwa muda wa miaka miwili: Haj Yusuf M. Kalala – President (301-918-9062)
Kwa wale wanaotaka maelezo zaidi kuhusu Baraza hilo, wanaombwa wawasiliane na Rais wa Baraza kupitia anwani ifutayo: Tanzania Muslim Council
|
YALIYOMO
TAHARIRI Tutaendelea kudhalilishwa mpaka lini ? Waislamu wasisitiza: Nyumba ya Waziri
Mkuu ni ya Waislamu
Kuchomwa nyumba za wananchi
Maoni Yetu:
Nguruwe marufuku Kinondoni – Tume
Watanzania waanzisha Baraza la Waislamu
Marekani
Wanawake Hai wamtaka Rais azungumzie
mauaji ya Mwembechai
‘Serikali haiwezi kuzuia rushwa’
Makala ya Kimataifa
Afghanistan washindi dhidi
ya uvamizi karne zote
MAKALA:
Tujikwamue na janga la utwaghuti
MAONI:
MAKALA:
Tufuate Uislamu kwa vitendo
na siyo kwa maneno -2
Tusihalalishe mauaji ya
raia kwa kisingizio cha ‘wananchi wenye hasira’
Historia ya sayansi na tiba
Msiwageuze watoto ombaomba
MAKALA YA JAMII:
Sensa ya majaribio: Wananchi watofautiana
na serikali
Uislamu ulivyoingia Zanzibar -3 Mwembechai wageuka Hame,
Bado walindwa na polisi
Waislamu Moro waendelea kusaidia
wagonjwa
Mjadala wa Katiba ya Shirikisho
kuzinduliwa Dar Jumapili
Walimu wa dini Tanga wapokea
Baiskeli
Mafundisho ya Quran
Chakula na Lishe
|