AN-NUUR 
Na.173 Rajab 1419, Oktoba 30 - Novemba 6, 1998 
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita
 
 
Dondoo za Saikolojia 

Hoja kengeza 

Na Abu Halima Sa Changwa 

HOJA kengeza ni hoja ambayo haina mantiki, lakini mtu naikubali kwa sababu tu wengi wanaikubali, au imesemwa na mtu ambaye anadhaniwa hawezi kukosea. Mara nyingine anayeikubali hoja hiyo huona uwezekano wa kutokuwa na mantiki kwa hoja hiyo. 

Hebu angalia taswira iliyoambatanishwa hapa. Unaona paka na kofia kwa pembeni. Unaweza kumfanya paka huyo akaivaa hiyo kofia kwa kuiangalia taswira hiyo huku ukiwa umefanya makengeza. 

Ukifanya makengeza unaona paka wawili na kofia mbili. Unaweza kuipeleka kofia ya upande wa kulia hadi kichwani kwa paka wa kushoto. Paka anakuwa kavaa kofia. Hivi ndivyo ambavyo hoja kengeza inavyoonekana kama ya kweli japo si ya kweli. 

Mfano mzuri wa hoja kengeza ni ile hesabu ya ajabu isemayo 1 + 1 + 1 = 1 (badala ya 3). Mamilioni ya watu wanalifanya jawabu liwe moja, japo shuleni walifundishwa ni tatu, na kompyuta zote zitasema tatu. Lakini kwa vile wameamua kuangalia hesabu hiyo kimakengeza. Lakini kwa vile wameamua kuiangalia hesabu hiyo kimakengeza, watang’ang’ania tatu, ana ni kwa ajili watu wengi wanaamini hivyo, na ni kwa sababu hata Watakatifu wanasema hivyo. Cha kushangaza ni kwamba, wengine wanaoamini hesabu hii ni Maprofesa. Qur’an inasema: 

Sema: Yeye Mungu ni mmoja (112:1) Wala usiseme watatu. Juzuieni itakuwa bora kwenu. Bila shaka Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, ni mbali na utakatifu wake kuwa ana mwana. Ni vyake vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini. Na Mwenyezi Mungu ni mlinzi wa kutosha. 
 

Juu 
 

YALIYOMO 
 
 

TAHARIRI 
Wakipewa fursa watainusuru nchi

Wasomi watetea haki ya wananchi kumiliki ardhi

Serikali izungumze na wananchi–Mzee Gonga

Akina mama watakiwa kushikamana na dini yao

Maoni
Serikali inaWhite Paper:  Wananchi mna nini?

Dondoo za Saikolojia: Hoja kengeza
Na Abu Halima Sa Changwa

Makala ya mtangazaji
Khatamy sio Gorbacheiv!!!

Makala
Malipo ya fadhila
Na Mohamed Saleh

Tanzania tuna sera gani kuhusu kanda
Na Abu Abdullah, Tanga

Mdahalo kati ya Waislamu na Wakristo- 2
Na Nandenga wa Mkomidachi

Teknologia
Jifunze Kuunganisha Kompyuta (3)
Na Hassan Omar

Makala na habari
'Usiiparamie ovyo Theolojia'
Na Charles Kamuhabwa, DSA Mtwara

Mwinyimkuu kufanya sensa ya waumini Magomeni
Na Jamillah Nassoro

Same tusilimu upya

Wazazi Mwanza wahimizwa kuwashonea watoto wao Hijab
Na Idd Katimba, Mwanza

Tuwaige Wangazija, 'tutafanikiwa'
Mwandishi: Maalim Bassalah

Serikali imeweka rekodi ya kutisha – Sheikh Salim
Na Mwandishi Wetu

Muhadhara waunguruma Geita
Na Hussein Abdallah, Geita

Fuateni Sharia ya Allah - Sheikh
Na Badru Kimwaga

Wanawake wa Kiislamu Mburahati wahimizwa kutafuta elimu

Mafunzo ya Qur'an
Vijana wa pangoni

Barua za wasomaji 

Masomo ya dini ya Kiislam 

Chakula na lishe
Chakula ni silaha ya kukabiliana na changamoto ya kansa
Na Mujahid Mwinyimvua

 

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
Home Links Islam Tanzania Matoleo yaliyopita