|
|
|
1. Kozi ya lugha kwa vijana wa darasa la tano hadi la saba (miezi mitatu) 2. Kozi ya lugha kwa vijana wa Form three hadi form four (miezi mitatu) 3. Kozi ya Kiingereza kwa Waislamu wanaopenda kufahamu au kujiendeleza katika lugha hii (miezi mitatu) 4. Tuition ya Kiingereza kwa vijana wa form five na six (A- Level) (miezi mitatu) 5. English Therapy (msasa wa Kiingereza kwa wenye matatizo ya "broken English" (mwezi mmoja) Fomu za kujiunga na kozi unayohitaji katika hizo zinapatikana katika vituo vifuatavyo kwa bei ya shilingi 1000/= 1. Ofisi ya AN-NUUR (karibu na Msikiti wa Mtoro) 2. Ofisi ya DUMT (Chuo Kikuu DSM) 3. Kwa Ustadh Shaaban B. Omari (Ubungo) Maelezo yote muhimu yatapatikana kwenye fomu hizo. Kutokana na kukua kwa jamii ya shule ya sekondari ya Kiislamu ya Ubungo Msikiti wetu umekuwa mdogo mno kiasi cha kuwafanya Waislamu kuswali kwa kwa zamu. Hivyo tunakaribisha sadaka za Waislamu ili tuweze kusimamisha Msikiti unaokidhi haja. Msikiti unaokusudiwa kujengwa utajumuishwa na ukumbi wa mikutano. Kwa mawasiliano tumia simu Na: 451412 au 450403 Dar es Salaam.
|
YALIYOMO
TAHARIRI Tuacheni na njaa yetu msituongezee silaha Serikali
yakumbushwa kujiunga OIC
Polisi walizingira nyumba yangu usiku wa manane - Sheikh Mbukuzi Wafungwa waomba Futari na Vikoi Macho
ya shutuma
Hoja
pofu
Ubaguzi katika mfumo wa elimu nchini: Chuo Kikuu chasikia kilio cha wanawake 'Vichupi'
vya nini Kimiti?
Mjadala
wa Katiba na haki za Waislamu
Mdahalo
kati ya Waislamu na Wakristo- 3
Waliochukuliwa
utumwa Uarabuni
Teknologia:
Jifunze Kuunganisha Kompyuta (4)
Kuweni wabunifu muinue taaluma - Wito TVZ na kipindi cha 'Wasemavyo' Kesi ya Waislamu Mwembechai: Mashahidi washindwa Wanyimwa fursa ya kuswali Ijumaa Mwanza Shule ya Bakwata yafungiwa Tanga Mafunzo
ya Qur'an
|