AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
Ulaji wa ‘Kiti Moto’
hadharani
Umoja wa Kitaifa wafikia
hatma yake
-
Wakristo wajitenga
-
Ujirani mwema sasa basi
UMOJA wa Kitaifa Tanzania inaojivunia upo
mbioni kuporomoka tena kwa kasi kubwa kutokana na mwelekeo wa Wakristo
kulazimisha mazingira ya kujitenga.
Hayo ni maoni ya watu kadhaa waliohojiwa na
gazeti hili kufuatia tarifa za vyombo vya habari kwamba Mwenyekiti wa Tume
ya Jiji Bw. Charles Keenja ametoa agizo kwamba ulaji wa nyama ya nguruwe
sasa uwe hadharani. Endelea...
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari
hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtz.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam