AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Polisi kuua Waislamu Mwembechai
 
Waumini Dar waitaka serikali iache vitisho
  Serikali iache kuwatisha waumini na kusambaza propaganda zisizo na mashiko badala yake waseme ukweli na wachukue hatua dhidi ya wale waliowaua Waislamu pale Mwembechai.

Hayo yamesemwa na Waislamu mbalimbali hasa wa Msikiti wa Tungi kufuatia juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Temeke Kapteni John Chiligati kutaka kuzuia kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu Mwembechai. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam