AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Polisi kuua Waislamu
Mwembechai
Waumini Dar waitaka
serikali iache vitisho
-
Temeke wasema hawachezi mkinda,
wanapinga mauaji
-
Wahoji walioua wamepewa shilingi
ngapi?
Serikali iache kuwatisha waumini na kusambaza
propaganda zisizo na mashiko badala yake waseme ukweli na wachukue hatua
dhidi ya wale waliowaua Waislamu pale Mwembechai.
Hayo yamesemwa na Waislamu mbalimbali hasa
wa Msikiti wa Tungi kufuatia juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Temeke Kapteni
John Chiligati kutaka kuzuia kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu Mwembechai.
Endelea...
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtz.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam