AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Baada ya Wakristo 51 kusilimu:
Serikali
yaingilia kati mihadhara
-
Yaamuru ihamie ndani ya Misikiti
-
Mkuu wa Wilaya kushitakiwa
Na Muhibu Said
KATIKA hatua inayotafsiriwa
na wengi kama juhudi za kulihami Kanisa, serikali wilayani Temeke imepiga
marufuku mihadhara ya dini katika maeneo ya wazi kwa zaidi ya siku mbili.
Hatua hiyo ya uongozi wa
Wilaya ya Temeke imekuja muda mfupi baada ya Khidmat Da’wah Islamia kupiga
muhadhara mfululizo uliowaacha Wakristo 51 wakiwa wamerejea katika Uislamu.
Endelea..
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtz.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam