AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Kufuatia serikali kumlinda muhujumu wa mali za Waislamu:
Mapambano yahofiwa kutokea Somali Dar
  Na Mwandishi Wetu

HALI ya mapambano kati ya Waislamu na vijana wa Daniel/Pius inahofiwa kuibuka wakati wowote lau hatua za haraka hazitachukuliwa kutatua mgogoro wa nyumba za Wakfu.

Fukuto la hatari hiyo limechochewa na taarifa zilizopatikana kwamba msimamo wa serikali ya mkoa ni kwamba nyumba ya Wakfu yenye mgogoro ni mali "halali" ya Bw. Pius Kipengele.

Imearifiwa kwamba msimamo huo wa serikali umeegemea hoja kwamba Bw. Pius alinunua nyumba hiyo kutoka kwa Bw. Daniel japo ni ya Wakfu kwa Masjid Mwinyi toka kwa marehemu Hajat Aziza Omar.  Endelea..


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam