Na Abu Abdullah, Tanga
MIKAKATI inapangwa mjini Tanga kuhakikisha kuwa amri ya Allah (s.w.) kuhusu vazi la stara (hijab) linatekelezwa na kila Muislamu.
Hilo lilikuwa ndilo azimio kuu mwishoni mwa mkutano wa kusisimua baina ya wazazi wa Kiislamu na viongozi wa TAMSA uliofanyika Machi 7, mwaka huu kwenye shule ya Jumuiya ya mjini hapa.
Katika mkutano huo, Mwenyekiti na Katibu wa TAMSA waliwasilisha mbele ya wazee malalamiko yao, kubwa ikiwa ni suala zima la hijab. Endelea..
|
|