AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Soma Toleo la Wiki iliyopita

F.F.U kutumika kuwatimua Waislamu Masjid Mwinyi
  Na Mwandishi Wetu

KITENGO cha Huduma ya Kikristo ya Haki za Binadamu kimeeleza kwamba muda wowote kuanzia Aprili 21, askari wa kutuliza ghasia (F.F.U) watatumika kuutwaa Msikiti wa Masjid Mwinyi ambao Bw. Daniel Zakaria anadai kwamba ni nyumba yake ya urithi.

Akiongea na gazeti hili kwa njia ya simu juzi, Mchungaji Elias Kibela alisema kwamba waumini wa Masjid Mwinyi wamepewa siku 21 toka Aprili 21 kuhama Msikiti huo vinginevyo wamlipe Bw. Daniel shilingi milioni 20 au wamtafutie nyumba nyingine nzuri ya vyumba sita katika eneo la Ilala au Kariakoo. Endelea...


Badili dini tukupe mahindi waambiwa Waislamu
 

Na Kassim Billo, Tanga

KUTOKANA na njaa iliyowakumba wananchi wa Kabuku wilayani Handeni, Shirika moja la kidini la Kanisa Katoliki limepeleka misaada ya chakula katika eneo hilo la Kabuku lakini msaada huo wa chakula cha mahindi hawapewi wasiokuwa Wakristo na ukitaka upate mahindi hayo ya msada waambiwa ubadili dini yako uwe Katoliki ndipo upewe.

Inasemekana kuwa kundi hilo la Wakristo wanatumia hali hiyo ya njaa kufanya kampeni kubwa kwa kuwageuza Waislamu kuingia Ukristo kwa kuwaambia kuwa atakayekuwa Mkristo atapewa mahindi. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam