AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Baada ya kauli ya Dk. Omar Ali Juma:
Kamata kamata yaanza tena Dar
Na Mwandishi Wetu

SIKU moja tu baada ya vyombo vya habari kuripoti kuwa Makamu wa Rais ameonya juu ya shughuli za Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu nchini kwa madai kwamba haijasajiliwa, baadhi ya waumini wamekamatwa na kupekuliwa majumbani mwao.

Aidha, kituo kimoja cha televisheni Jijini kimeripoti katika taarifa yake ya habari jana usiku kwamba Mh. Omar Ali Juma amemuagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Alfred Gewe kushughulikia agizo lake la kuipiga marufuku Kamati ya Ponda. Endelea...
 

'Msipotoshwe na propaganda'
Na Abu Zubeir, Dodoma

SHEIKH Ahmed Zubeir amewaambia Waislamu wasikubali propaganda kuwa eti Waislamu hawakutaka kusoma toka wali; bali walikuwa wa mwanzo kusoma lakini wakazikataa shule za Wakristo waloweka taratibu zilizokuwa zikitumika za kuwabatiza Waislamu ili wakubalike kuingia katika shule zao.

Aliwafahamisha vijana kuwa sasa uwanja wa kutafuta elimu ni mpana; hivyo vijana wanapaswa kuitafuta elimu popote pale na kwa gharama zote. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam