Na Mwandishi Wetu
JUMUIYA ya wanafunzi Waislamu mkoani Ruvuma wameelezea masikitiko yao juu ya ubaguzi unaofanywa dhidi ya wanafunzi Waislamu mashuleni.
Taarifa ya Jumuiya hiyo RUMUSA
imedai kuwa wakati wanafunzi Waislamu wamepigwa marufuku kuvaa hijaab katika
baadhi ya mashule wanafunzi watawa Wakikatoliki (masista) wanaosoma shuleni
huvaa magauni yao na vilemba bila ya bughudha. Endelea...
BAADA ya kusota rumande hatimaye waumini 15 waliokamatwa wilayani Nzega miezi miwili iliyopita wamepewa dhamana na mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Tabora.
Waumini hao walikamatwa mjini
humo kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya kashfa dhidi ya dini nyingine.
Endelea...
|
|