MAIMAMU Jijini Dar es Salaam Jumapili iliyopita walishiriki katika semina iliyofanyika katika Msikiti wa Mtambani iliyojadiliwa kwa kina masuala mbalimbali yanayohusu Misikiti na waumini wa dini ya Kiislamu Jijini.
Semina hiyo iliyojumuisha
Maimamu na wasaidizi wao kutoka Msikiti zaidi ya 60 jijini iliandaliwa
na Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu nchini. Endelea...
BAADHI ya Waislamu wamemtaka Mchungaji Mtikila asipate taabu kuomba msaada wa polisi bali aende tu akautwae Msikiti Masjid Mwinyi na kuufanya Kanisa kama anavyotaka.
Wamesema Mchungaji Mtikila
hana sababu za kuwa na hofu kwani hao watu wa kuhofia hawapo ndio maana
hata yeye mwenyewe kashawishika kuutwaa Msikiti wao. Endelea...
|
|