AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Baada ya semina ya Maimamu:
Sheikh Mbukuzi Amir wa Waislamu Dar
 
Na Mwandishi Wetu

MAIMAMU Jijini Dar es Salaam Jumapili iliyopita walishiriki katika semina iliyofanyika katika Msikiti wa Mtambani iliyojadiliwa kwa kina masuala mbalimbali yanayohusu Misikiti na waumini wa dini ya Kiislamu Jijini.

Semina hiyo iliyojumuisha Maimamu na wasaidizi wao kutoka Msikiti zaidi ya 60 jijini iliandaliwa na Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu nchini. Endelea...
 
 

'Mchungaji Mtikila kukabidhiwa Msikiti leo'
  Na Mwandishi Wetu

BAADHI ya Waislamu wamemtaka Mchungaji Mtikila asipate taabu kuomba msaada wa polisi bali aende tu akautwae Msikiti Masjid Mwinyi na kuufanya Kanisa kama anavyotaka.

Wamesema Mchungaji Mtikila hana sababu za kuwa na hofu kwani hao watu wa kuhofia hawapo ndio maana hata yeye mwenyewe kashawishika kuutwaa Msikiti wao. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam