AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Tukielekea uchaguzi 2000:
Sheikh wa Ansaar adai kupiga kura ni ukafir
Na Mwandishi Wetu

KIONGOZI wa Ansaar Sunnah Tanga amedai kwamba kupiga kura katika nchi hii ya Tanzania ni ukafiri kwani kufanya hivyo ni kusaidia kuweka tawala za kitwaghuti.

Alisema kuwa nchi hii inaendeshwa na sheria za kitwaghuti na hivyo kushiriki kuzisimamisha' ni kumshirikisha Allah (s.w.).

Akifafanua kauli yake, Sheikh Salim Barahiyan alitoa mfano wa Bunge la Tanzania linavyotunga sheria kinyume na za Allah na hivyo kumshirikisha Allah. Endelea....


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam