AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Maimamu Dar waijia juu CCM
  Na Mwandishi Wetu
 

MAIMAMU Jijini wamelaani kauli iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CCM Bwana Philip Mangula ikinasibisha Misikiti na vitendo vya vurugu na rushwa.

Wamesema kauli hiyo ililenga kuudhalilisha Uislamu na kuwatukana Waislamu.

Katika taarifa yao kwa vyombo vya habari iliyosambazwa jana ambayo imesainiwa na Amir wa Shura Sheikh Juma S. Mbukuzi, Maimamu hao wamesema kauli ya Katibu Mkuu wa CCM imekashifu Misikiti.  Endelea....


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam