AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

'Kutozungumza siasa Misikitini ni pumbao la kisiasa'
 
Na Mwandishi Wetu
 
MWANAHARAKATI maarufu na muasisi wa vuguvugu la wanafunzi na vijana wa Kiislamu nchini, Mwalimu Mtengwa Burhani amewahadharisha Waislamu na pumbao kuwa siasa isizungumzwe Misikitini.

Mwalimu Mtengwa alitoa hadharisho hilo katika mkesha wa Maulid yaliyofanyika Jumamosi iliyopita katika Msikiti wa Mtambani. Endelea...
 

Shule ya Kiislamu Same kukamilika mwaka huu
Na Mwandishi Wetu
 
SHULE ya Sekondari ya Kiislamu ambayo ujenzi wake ulianza miaka mitano iliyopita wilayani Same inatazamiwa kukamilika kujengwa mwishoni mwa mwaka huu.

Tamasha la sita la ujenzi huo wa harambee uliowashirikisha Waislamu kutoka mikoa mbalimbali lilimalizika Julai tisa mwaka huu ambapo iliazimiwa kuwepo tamasha jingine mwezi Septemba na Oktoba kukamilisha ujenzi huo ili kuwezesha shule kuanza ifikapo Januari 2000. Endelea....


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam