AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Serikali inayatumikia
Makanisa - Baraza Kuu
Na Mwandishi Wetu
RAIS Benjamin Mkapa amepelekewa
taarifa inayodai kwamba serikali imekuwa ikiyatumikia Makanisa ambapo hulazimika
kuyapa ruzuku kuendeshea shughuli zao.
Aidha, imeelezwa katika taarifa
hiyo kuwa serikali imekuwa ikiwajibika kwa Makanisa kwa kuyatengea nafasi
maalum za masomo pamoja na kuyatafutia fedha toka nchi na mashirika ya
nje yanayoipa Tanzania misaada. Endelea...
Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi
na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza
ya Wasomaji
Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa
huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua kwa: webmaster@islamtz.org
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation
Centre, Box 55105, Dar es Salaam