AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Wananchi wahoji serikali ya CCM:
Je, viongozi wa Waislamu ni wahaini au wauaji?
WAISLAMU mbalimbali wamelaani vikali kitendo cha serikali kumkamata Amir wa Waislamu Sheikh Juma Mbukuzi na kusema kuwa ni kitendo asichostahiki kufanyiwa kiongozi yeyote wa dini.

Wakiongea na gazeti hili kwa nyakati tofauti walisema kuwa anayekamatwa usiku anakuwa ni mhaini au muuaji inakuwaje Sheikh "avamiwe" usiku wa manane kama mhaini".  Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam