AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet


Rais Mkapa afunga mjadala juu ya hijaab

HALI ya utata uliyokuwepo katika suala la uvaaji wa Hijaab mashuleni umeondoka baada ya Mhe. Rais Benjamin William Mkapa kutoa ufafanuzi na maelekezo juu ya suala hilo.

Mhe. Rais Mkapa amesema kuwa kuvaa Hijaab na kuhudhuria swala ya Ijumaa ni haki ya Waislamu na hakuna wa kuizuia. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji


   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org

 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam