Na Rajab Rajab, Morogoro
TAASISI za Kiislamu nchini zimetakiwa kukutana na kupanga kwa pamoja jinsi ya kuwaendeleza waumini wa dini hiyo badala yakuwagawa kwa tofauti mbalimbali zikiwemo za kimadhehebu.
Hayo yalisemwa Jumamosi iliyopita
na waumini wa Kilakala mjini hapa walipokuwa wakisoma risala yao katika
sherehe za Maulid kwa mgeni rasmi wa hafla hiyo Imamu wa Msikiti wa Ijumaa
Mohammed Kairo.
Endelea...
|
|