AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet


Hatari ya kufarakana baada ya Nyerere


"NAWAELEZENI haya wazee kwa sababu huko tulikotoka, tulikotoka pamoja na wazee, wazee wa nchi tulishikamana sana".

Hiyo ni sehemu ya hotuba ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyoitoa jioni ya Jumamosi Novemba 2, 1985 katika ukumbi wa Diamond Jubilee wakati akiwaaga wazee wa Dar es Salaam baada ya kung'atuka wadhifa wa Urais.

Tangu kufariki dunia Mwalimu Julius Nyerere baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikiirudia mara kwa mara hotuba hiyo kama wasia wa mwasisi huyo kwa Watanzania. Endelea...


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji


   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org

 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam