Nguvu za Kimataifa dhidi ya nchi changa zimekuwa kubwa mno kwa kiongozi yeyote kuzihimili.
Katika hali hiyo Dk. Rugatiri Mekacha ametoa wito kwa watu waepukane na siasa za mtu.
Ni lazima wananchi wapewe
uhuru wa kuunda jumuiya zao za kijamii zenye nguvu.
Endelea...
MAELFU ya wanawake nchini Uingereza wanasilimu kwa kasi, hali inayowakanganya Wakristo nchini humo.
Inakadiriwa kuwa Waingereza 10,000 wamesilimu katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, wengi wao ni wale waishio peke yao (wasio na ndoa) na wasomi wa kike.
Madaktari, wahadhiri wa vyuo
na wanasheria wengi ni miongoni mwa watu waliosilimu na kuikubali dini
ambayo huko nyuma ilidhaniwa (vibaya) kuwakandamiza wanawake.
Endelea..
|
|