AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Demokrasia nchini mashakani
 
MFUMO wa demokrasia nchini umeelezwa kuingia mashakani baada ya wafuasi kadhaa wa vyama vya upinzani kutiwa mbaroni kufuatia kuonesha hisia za kutoridhishwa na zoezi zima la uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika mapema wiki hii.

Idadi ya waliotiwa mbaroni katika kile kilichodaiwa na vyombo vya dola kuwa ni kudhibiti vurugu hadi sasa imefikia 18 ambapo wawili kati yao walikamatwa katika kituo cha kupigia kura eneo la Mwananyamala.  Endelea...


To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
 
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam