AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Waislamu kuamua hatima yao
Katika Baraza hilo ambalo huenda likawa la aina yake katika miaka ya karibuni, kutajadiliwa hatima ya Waislamu hapa nchini kufuatia majibu ya Rais Mkapa kuhusu malalamiko yao.
Ili kulifanikisha Baraza hilo lililoandaliwa na Halmashauri Kuu ya Waislamu, viongozi wa jumuiya zote wameafikiana kutokuwa na Baraza au hafla nyingine yoyote siku hiyo Endelea...
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam