AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet


SAMAHANI
Tunapenda kuwaomba radhi wasomaji wetu watukufu kwa kukatika mfululizo wa matoleo ya Gazeti hili katika wiki chache zilizopita. Hii ilitokana na matatizo ya kiufundi ambayo hayakuweza kuepukika. Juhudi zinafanywa ili matoleo yajayo ya An-nuur yaweze kutoka katika mtandao bila kuchelewa, In-sha' Allah.
webmaster

CCM yajinyonga yenyewe

MAJIBU ya Rais na matamshi ya kashfa ya baadhi ya viongozi wa CCM dhidi ya Waislamu yamezidisha chuki ya waumini hao kwa chama tawala.

Hali hiyo ilidhihirika Jumamosi iliyopita katika Baraza la Idd lililofanyika Msikiti wa Sinza Jijini ambapo maelfu ya Waislamu walitoa maneno ya kukilaani chama hicho na viongozi wake.

Ilikuwa kila ilipotajwa CCM au viongozi wake matamko ya laana yalifuatia. Endelea...


USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam