AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
Ni
vigumu kuamini Kamanda Upelelezi Moro ataka:
Wachapishaji Qur'an wafikishwe
mahakamani
Afisa huyo aliyasema hayo wiki iliyopita wakati
akitoa ushahidi katika mahakama ya hakimu mkazi mjini hapa katika kesi
ya kufanya mhadhara bila ya kibali inayowakabili wahubiri wa kikundi cha
ALMALLID tawi la Morogoro. Endelea...
Shule ya Muslim wapewa Walokole?
IMEELEZWA kuwa iliyokuwa shule ya Muslim Moshi wamepewa dhehebu la Kilokole wafanye shule binafsi ya msingi.
Dhehebu hilo imedaiwa limepatiwa misaada toka mashirika ya Kikristo ya Sweden.
Mwenyekiti wa Kamati inayofuatilia mgogoro
wa shule hiyo, Bw. Ansaar, amesema wasemaji wa shule wamekuwa wakikwepa
kusema lolote juu ya kuporwa shule ya Mwenge. Endelea..
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam