AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
 

Rais Mkapa kupewa salamu za Muharam

MUHARRAM 1421 itaadhimishwa kwa Waislamu kuosha bongo zao, kuikabili hali halisi ya kisiasa nchini.

Pumbao la kisiasa lililokuwa limewazuga Waislamu kuwa dini ni mbali na siasa ukurasa wake unatazamiwa kufungwa, Uislamu kama Endelea...
 
 

Kuporwa kwa shule ya Moshi Muslim:
Manispaa yazua uzushi


UZUSHI hauwezi kuinasua CCM kutokana na kitanzi ilichojitia shingoni.

Hayo yamesemwa na waumini kadhaa mjini Moshi kufuatia propaganda inayopigwa dhidi ya juhudi za kuihami shule ya msingi Mwenge.

"Wamezoea kutudhulumu kisha walete visingizio. Mwembechai waliua, wakasingizia Balozi za nje, wakamtia kilema Chuki Athumani wakamsingizia kuwa na makaratasi ya uchochezi, sasa wanapora shule yetu wanasingizia Cuf" amesema Bw. Shuayb Msechu. Endelea..


USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam