AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
 

Msamaha wa deni ulaghai

MSAMAHA wa 'madeni' haujaiongezea serikali hata senti moja wala kujinasua na kitanzi cha deni.

Hivyo kauli kwamba, iutumie msamaha huo kuboresha hali za wananchi ni za kupotosha na kuichonganisha serikali na wananchi.

Hayo yameelezwa na mtaalamu mmoja wa mambo ya benki na masuala ya fedha ya Kimataifa. Endelea..
 

Udini utakwamisha demokrasia nchini

NIMESOMA orodha ya waratibu wa uchaguzi na wasimamizi iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kuchapishwa na gazeti hili toleo lililopita. Orodha hiyo ilimshtua kila aliyeifuatilia, kwani si tu kwamba ilionesha ubaguzi wa kidini uliokithiri katika sekta mbalimbali za serikali bali pia ulionesha kudumaza misingi ya demokrasia.

Pamoja na kuwa na athari mbaya hasa kwa Waislamu, lakini pia orodha hiyo ni ushahidi wa kisayansi unaotafutwa na Mheshimiwa Rais Mkapa ili kuwashughulikia wanaofanya kazi za serikali kwa upendeleo wa kidini. Tutashindwa kuamini kauli ya Mheshimiwa Rais aliyoitoa Januari 19, 1999 pale Diamond Jubilee alipopewa malalamiko ya Waislamu likiwemo la kubaguliwa katika idara mbalimbali za serikali. Endelea...  [Pia soma Barua ya wazi kwa Raisi Mkapa]



USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...


To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji


   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org

 
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam