AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Uchaguzi Oktoba baadhi ya wananchi wasema:
CCM isichume isichopanda

Imeambiwa kuwepo kwa amani, utulivu na kukosekana chuki za kikabila, si zao la juhudi za mwanasiasa yoyote au Chama.

Wakijadili hali ya uchaguzi mkuu mwaka huu, baadhi ya wananchi waliokuwa wakielekea Moshi wamesema, propaganda ya amani, utulivu na kuondoa ukabila imechuja.

"TAA ilijaa watu wa makabila tofauti; Nyerere Mzanaki alipokelewa na Wazaramo. Huo ukabila uliondolewa na Nyerere na CCM ni upi". Endelea...
 


Waislamu wapinga wasimamizi wa uchaguzi

SIKU chache baada ya Amir wa Shura ya Maimamu, Sheikh Juma Mbukuzi kuwataka Waislamu wapinge uteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi kwa kuwa haukuzingatia uwiano wa kidini, waumini wa Misikiti mbalimbali jijini wameungana na kiongozi huyo kushutumu uteuzi huo.

Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi, waumini wa Msikiti wa Ubungo Darajani wamesema, hawaafiki uteuzi huo na wameonesha shaka kuwa huenda ni mpango wa siri unaotekeleza agenda ya Kanisa. Endelea..

Toleo la wiki iliyopita


USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam