AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
|
webmaster
|
VIJANA kadhaa wamedai kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi baada ya kuhama kutoka CCM.
Wamesema, awali walikuwa na 'kijiwe' chao kikiwa na bendera ya CCM lakini wakaamua wote kuingia CUF.
Kijiwe hicho kilikuwa katika makutano ya barabara za Madenge na Yombo.
Wamesema, badala ya kupandisha bendera ya CUF katika mlingoti wa zamani waliamua kuvunja kijiwe hicho wajengee kando kidogo. Wamedai walifanya hivyo kwa vile mlingoti wa awali ulikuwa karibu na nyaya za umeme Endelea...
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa
Kiswahili
Bonyeza
hapa kwa maelezo zaidi
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam