AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
Toleo la Ijumaa

Mufti awajia juu wasemao CCM isipewe kura Okt.

MUFTI wa BAKWATA, Sheikh Hemed bin Jumaa ametahadharisha juu ya kauli kuwa CCM isipewe kura.

Ametoa tahadhari hiyo akizungumza na viongozi wa BAKWATA mkoani hapa katika ukumbi wa Rehema Hall, Bar & Guest House wiki iliyopita.

Amesema, mama mmoja huko Dodoma aliwahi kuwaambia Waislamu kura zote wasiipe CCM.

Sheikh Hemed amesema, kauli kama hiyo ni ya hatari. Endelea...
 


Wenye upeo mdogo wasipewe uongozi

WASOMI wa Kiislamu nchini wametakiwa kutowaachia watu wenye upeo mdogo na fikra finyu nafasi za uongozi katika jamii.

Aidha, wamepewa changamoto kutumia akili kuikomboa nchi toka katika dimbi la umaskini, maradhi na ujinga.Hali ambayo imeelezwa kuifanya jamii iishi chini ya nidhamu ya woga ikigubikwa na dhulma iliyopea mipaka. Endelea...


USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam