AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
 Toleo la Ijumaa

Uchaguzi Mkuu, Baraza Kuu lasema:
Uteuzi wa Waratibu wa uchaguzi utenguliwe

IMEELEZWA Wasimamizi na Waratibu wa uchaguzi, hawana uwakilishi wa watu wote.

Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu liemeyaeleza hayo katika waraka wake kwenda kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jaji Lewis Makame.

Waraka huo Na. BK/GC/B16/161/2000 umenakiliwa kwa Mhe. Rais,Waziri Mkuu na Maimamu wote nchini.

Imedaiwa kuwa, uteuzi huo unadhamiri za makusudi za kuendeleza ubaguzi. Endelea...
 


Mufti wa BAKWATA akacha kuhutubia waumini Mwanza

MUFTI wa Bakwata Hemed bin Juma bin Hemed ambaye yuko ziarani mikoa ya ziwa, alishindwa kuhutubia mkutano wa hadhara kama iliyoandaliwa na uongozi ya Bakwata mkoa wa Kagera. Badala yake Mufti alizungumza na Waumini wachache msikitini wakati wa swala ya Alfajiri.

Pamoja na kuombwa na waumini ahutubie ANNUUR imefahamishwa kuwa Mufti alikataa kwa madai kuwa alikuwa akiwahi Ndege ya kuelekea Mwanza. Endelea...


USIKOSE!!
Kitabu kipya cha Kompyuta kwa Kiswahili
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi

Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam