AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
 

Polisi watuhumiwa kuchochea mapigano, Wakristo na Waislamu


POLISI Jijini imetuhumiwa kuchochea mfarakano uliosababisha mapigano baina ya waumini makaburini Manzese Uzuri.

Mapigano hayo yalitokea Jumamosi baada ya waumini wa dini za Kiislamu na kikristu kutokukubaliana katika suala la mazishi ya mkristo eneo linalomilikwa na Msikiti.

Imeelezwa kuwa vurugu hilo lilitokea baada ya polisi kuamrisha wafiwa wamzike jamaa yao mahali hapo kinyume na ridhaa ya wahusika. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam