AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 

Auawa kikatili rumande


MTU mmoja ajulikanaye kwa jina la Alhaj Swedi Mchombe amekufa mikononi mwa askari Magereza katika mazingira ya kutatanisha.

Kibali cha mazishi No. 0826033 kutoka Hospitali ya Mawenzi kilichotolewa Julai 8, kimedai sababu za kifo ni kifua kikuu na ukimwi (TB na CD4).

Hata hivyo, maiti ya marehemu Swedi inaonyesha alipigwa sana kichwani na kunyongwa shingo.. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam