AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne

Mahakama za 'Sharia' zianzishwe-Jaji Augustino

JAJI Augustino Ramadhani amesema, sheria za Kiislamu juu ya maisha binafsi na familia zinahitaji kuwepo mahakama maalum.

Jaji Ramadhani amesema, kama ambavyo kuna mahakama maalum za mambo ya biashara, kazi na kodi, sharia hizo za Kiislamu nazo zinahitaji mahakama pekee.

Jaji Augustino Ramadhani ameyasema hayo katika mada yake juu ya sheria ya Kiislamu (personal) katika Afrika akiangalia zaidi Tanzania. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org

 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam