SI laana ya Mwenyezi Mungu, kuwa enzi za akina Maulana, Saleh Zimbwe,
Kinanda na Yanga Fadhili Bwanga zimetoweka. Prof. Ibrahim Lipumba amewaeleza
hayo wananchi wa Tanga juzi.
Amesema, mikoa ya Tanga, Morogoro na Tabora ilikuwa ndiyo ikitamba katika
mpira wa miguu. Lakini akasema hivi sasa michezo imedidimia kila pembe
ya nchi. Endelea...