AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo
la Internet
|
|
|
Serikali ipige marufuku dhulma sio kitabu
WANANCHI mbalimbali walioongea na gazeti hili wameitaka serikali ishughulike na kuondoa dhulma, sio kuficha ukweli.
"Mh. Rais alidai kuwa hakuna mwananchi anayeonewa wala kubaguliwa kutokana na dini yake, akataka apewe ushahidi kama upo. Mbona sasa anaukataa ushahidi hata kule kusomwa tu?" amehoji Bw. Abubakar wa Magomeni.
Akiongea na mwandishi wa habari hizi jana, Bw. Abubakar amesema, Waislamu wanaituhumu serikali kwa uonevu na dhulma. Na kwamba kitabu juu ya mauaji ya Mwembechai ni miongoni mwa vielelezo vya ushahidi. Endelea...
[Kitabu kilichopigwa marufuku
kinapatikana katika mtanadao wa kompyuta.
Ukitaka kusoma, kwa kubeba
jukumu lako mwenyewe, bonyeza hapa.]
---- webmaster.
|
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook |
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam