AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne

Profesa Lipumba azuiwa kufanya mkutano Kigoma

MWENYEKITI wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba ambaye yuko katika ziara ya kichama kanda za ziwa na magharibi ameamriwa kusitisha ziara hizo mpaka muda wa kampeni utakapofikia.

Taarifa inayosemekana kutokea Tume ya uchaguzi ilifikishwa na polisi kwa Mwenyekiti huyo wa CUF jana akiwa mkoani Kigoma ambako ilikuwa afungue matawi ya chama chake na kuhutubia wananchi wa mkoa huo Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam