AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne

Hakuna Wabara wanaochomewa nyumba Zanzibar -Prof. Lipumba

• Huo ni uchochezi
• Wanaodhibitiwa ni mamluki

Na Mwandishi Wetu

Mgombea urais kupitia chama cha CUF Prof. Ibrahim Lipumba,amesema, ,taarifa kuwa kuna watu wa bara wanaochomewa nyumba zao huko Zanzibar, ni propanda za kichochezi.

Amesema taarifa kama hizo, zinachochea uhasama na chuki kati ya watu wa Bara na Zanzibar ,jambo ambalo ni la hatari.

Akiongea na waandishi wa habari juzi,Prof. Lipumba amewataka waandishi wa habari kutozishabikia taarifa hizo bali wachukue tahadhari na kufanya uchunguzi kabla ya kuparamia habari kama hizo Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam