AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
 Toleo la Ijumaa

Wazee Dar wamwombea Ujasiri Prof. Lipumba

WAZEE jijini Dar, wamemwombea dua Prof. Lipumba ili awe na ujasiri katika kuwakomboa wananchi kutokana na umasikini na madhila mengine.

"Ewe Mwenyezi mungu muepushie kila la shari kijana huyu. Muepushie na kila balaa.Mpe ujasiri na wape ujasiri wananchi", aliomba mzee mmoja kutoka Temeke.

Wazee hao walikuwa wamejazana katika ukumbi wa mikutano wa Starlight, asubuhi ya Jumamosi kuzungumza na Prof. Lipumba kabla ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam