AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne

Mkimchagua Karume Zanzibar imekwenda

WAZANZIBARI wametakiwa kuipenda nchi yao na kutokuruhusu ifanywe mkoa.

Maalim Seif Shariff Hamad ametoa nasaha hizo akidai kuwa, upo mpango wa kuifanya Zanibar mkoa kupitia kwa mgombea wa Urais Zanzibar kupitia CCM, Amani Abeid Karume.

Maalim Seif anayegombea Urais Zanzibar kupitia CUF, aliyasema hayo juzi akifungua kampeni za uchaguzi kwenye viwanja vya Malindi.

"Uchaguzi wa mwaka huu ni wa kuamua hatima ya Zanzibar", amesema Maalim Seif na kuonya kuwa, iwapo Wazanzibari watamchagua mgombea wa CCM atawapeleka kwenye serikali moja. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam