AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
Toleo la Ijumaa
 Toleo la Jumanne
Lipumba kuzushiwa kesi
ZIPO taarifa kwamba ipo kamati ya watu watano ambao kazi yao ni kuleta farka na fitna kati ya wapiga kura na vyama vyao.

Aidha, kamati hiyo, habari zimedai kuwa inaandaa mipango ya kuwazushia kesi baadhi ya wagombea kwa maslahi ya chama chao.

Katika hatua ya awali watu hao wameandaa 'jungu' la kuwafitini Waislamu na Prof. Lipumba. Inasemekana wameghushi maandiko wanayodai ni makubaliano ya CUF na Waislamu. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 

Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam