AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet
Toleo la Jumanne
 
Jasusi angamizi lipo Dar
Habari za kihisani toka kwa watu wema ambao hawakujitaja majina yao zimetoa fununu zinazodai kuwepo kwa jasusi lililoandaliwa kwa utaalamu maalum wa kuvuruga shughuli za Uislamu na Waislamu kwa kutumia njia na mbinu mbali mbali.

Njia na mbinu hizo zimedaiwa kuwa ni pamoja na kupandikiza vurugu na kuweka viongozi vibaraka katika taasisi za kiislamu ikiwemo misikiti, kufitinisha na kufarakanisha makundi mbali mbali ya Waislamu na kuwazushia kesi.  Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 

Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org
 
 
An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania 
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook
Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam