AN-NUUR
Gazeti la Kiislamu la kila wiki - Tanzania
Toleo la Internet

Toleo la Jumanne
 Toleo la Ijumaa

Wananchi watathmini kampeni na kusema:
Lipumba atashinda uchaguzi

IMEELEZWA kwamba mgombea kiti cha Urais kwa tiketi ya CUF - CHADEMA, Prof. Ibrahim Lipumba atapata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu ujao.

Hayo yamesemwa na wananchi mbalimbali katika mikoa kadhaa nchini, wakati wakitoa maoni yao wakitathmini maendeleo wa kampeni za uchaguzi huo. Kampeni zinatarajiwa kumalizika Oktoba 28.

Wananchi hao wake kwa waume, vijana na wazee, wamesema katika maoni yao kwamba Prof. Lipumba ana nafasi kubwa ya kupata ushindi kwa kuwa ameweza kujieleza na kueleweka vyema na wananchi waliowengi ambao wamekuwa wakifuatilia kwa karibu na kwa makini kampeni za uchaguzi mkuu zinazoendelea nchini kote. Endelea...


Soma NASAHA, Gazeti jipya kwenye mtandao...

To search in An-nuur:
Write a word or words in the space provided then press "Search". 



Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org


An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook

Gazeti hili huchapishwa na Islamic Propagation Centre, Box 55105, Dar es Salaam