Anaomba msaada

MAMA Haruna ni mama wa mwanafunzi Said Ally anayesoma kidato cha tatu, Alharamain.

Said amefukuzwa shule kwa kukosa ada.

Maua anasema, mume wake kwa muda mrefu ni mgonjwa hawezi hata kutoka ndani.

Yeye Maua anawajibika kuiangalia familia kwa kuhangaika huko na huko.

Maua anaomba yeyote mwenye uwezo amlipie ada mwanae Said Ally aweze kukamilisha elimu yake ya sekondari.

Maua Haruna anapatikana Sinza Madukani, S.L.P. 6822, Dar es Salaam.

--
JuuRUDI


Bonyeza hapa
kushriki mjadala au kutoa maoni juu ya habari hizi na masuala mengineyo ya Kiislamu kwenye Baraza ya Wasomaji

   Kutoa maoni yako kuhusu ukarasa huu: Bonyeza hapa
Au
Andika barua  kwa: webmaster@islamtz.org

An-nuur Home | Ukurasa wa Mwanzo | Islam Tanzania
Links | Matoleo Yaliyopita | Sign our Guestbook